Posted on: June 10th, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ametaka usimamizi madhubuti wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii ili usaidie kukabili changamoto mbalimbali za kiafya ndani ya jamii.
Kunenge...
Posted on: June 4th, 2024
Watumisha wa umma mkoani Pwani wameaswa kutumia mfumo wa kidijitali wa manunuzi ya umma (Nest) ambao unasimamiwa na mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya Umma (PPRA).
Rai hiyo imetolewa leo Juni 4, 20...
Posted on: June 3rd, 2024
Madaktari Bingwa wa mama Samia 45 wamepiga kambi Mkoani Pwani ,kwa siku tano kuanzia Juni 3-Juni 7 mwaka 2024 ili kutoa huduma za afya kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo ya njia ya uzazi na watoto.
Ai...